dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Tuesday, August 23, 2016

Muonekano wa moja ya ndege mpya za Air Tanzania

Huu ndio muonekano wa moja ya ndege mpya za ATCL zinazotarajiwa kutuwa nchini Tanzania mwezi ujao.
Ndege hizi zipo katika hatua za mwisho za kuwekwa rangi na nembo za Shirika la ndege la ATCL ambayo ni Twiga anayekimbia...

Kwa sasa ATCL imetangaza nafasi za marubani,Wahandisi na Cabin Crew wapya kwa ajili ya kuanza upya Operation ndani ya nchi na baadae nje ya nchi.Nafasi zilizotangazwa ni Dash8-Q800 Mechanical and Avionics Certifying Engineers nafasi 6,Co-Pilot Dash8 nafasi mbili,Pilot in Command Dash8 nafasi 2, na Cabin Crews nafasi 18.

Kwa marubani ni mkataba wa miaka mitano kazini,Wahandisi mkataba wa mwaka mmoja na wakati Cabin Crews ni miaka mitatu tu.Karibu Sana Air Tanzania 
  

https://www.jamiiforums.com/threads/muonekano-wa-moja-ya-ndege-mpya-za-air-tanzania.1101114/

No comments :

Post a Comment